#Local News

RAIA WA MAREKANI WALIOAMBUKIZWA EBOLA WATARAJIWA KUPATA MATIBABU NCHINI

Huku kenya ikiendelea kulinda mipaka zake dhidi ya kusambaa  kwa virusi vya Ebola Rais wa marekani Donald Trump anasema kwamba raia wa marekani walioambukizwa virusi  vya Ebola nchini Demokrasia ya Congo DRC  sasa wataletwa hapa nchini Kenya kwa uangalizi wa matibabu badala ya kurudishwa badala ya kurejeshwa huko marekani.

Kulingana na gazeti rasmi la marekani serikali ya taifa hilo inapanga kuanzisha kituo muhimu humu nchini kitakacho tumika kuwaweka karantini na kuwahudumia raia wake wanaoshukiwa kuambukizwa ugonjwa huo na maafisa wa matibabu watakao kuja nchini kutoka marekani baada ya kupewa   mafunzo maalum.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *