#Local News

BUNGE LAJADILI NJIA ZA KUPUNGUZA GHARAMA YA MAFUTA

Kizaazaa kimeshuhudiwa Bungeni wakati wabunge waliingia katika mjadala mkali kuhusu hatua za kupunguza gharama ya mafuta nchini.

Hoja hiyo iliyowasilishwa na Mbunge wa Ndia George Kariuki ilifichua mgawanyiko mkubwa kuhusu mapendekezo ya kupunguza ushuru wa mafuta.

Wakati huo huo, pendekezo la Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro la kupunguza matumizi katika taasisi za serikali lilipingwa vikali na viongozi wa walio wengi pamoja na walio wachache bungeni.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *