#Local News

GAVANA KIHIKA AAHIDI KUSAIDIA FAMILIA ZA WAATHIRIWA WA MOTO GILGIL

Huko Nakuru gavana Susan Kihika amesema serikali yake itashirikiana kikamilifu na serikali ya kitaifa katika kuzisaidia familia zilizoathirika na mkasa wa moto.

Kauli yake imesisitizwa na Waziri   Murkomen akisema serikali inalenga kuwasaidia wazazi na wanafunzi na huduma za ushauri nasaha wakati huu ambapo zinaendelea kukumbwa na wakati mugumu.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *