KAGWE ATOA HAKIKISHO LA MBEGU
Wizara ya kilimo nchini imewataka wakulima kuondoa hofu kuhusiana mbegu, ikisema kuna akiba ya kutosha za upanzi msimu huu na mwaka mzima.
Waziri wa kilimo Mutahi Kagwe, amesema kuwa serikali imeimarisha mikakati ya uzalishaji na usambazaji wa mbegu katika juhudi za kuhakikisha kila mkulima anafikiwa na mbegu kwa wakati.
Amesema uwekezaji zaidi unaendelea katika sekta ya kilimo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































