#Local News

NAIROBI KUPATA SURA MPYA 

Jiji la Nairobi limeratibiwa kupata mwonekano mpya kufuatia kutia saini kwa makubaliano ya kuanzisha kwa ukumbi wa kisasa wa michezo na burudani katika eneo la reli katikati mwa jiji, ambao umeratibiwa kukamilika ndani ya miezi 12 ijayo.

Mradi huo utakaogharimu mabilioni ya pesa unalenga kuipa kaunti ya Nairobi sura mpya na kuiwezesha kushindana na miji mingingine.

Hafla ya kutiwa saini imeongozwa na rais William Ruto katika Ikulu ya Nairobi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NAIROBI KUPATA SURA MPYA 

MBUNGE KIARAHO KUZIKWA IJUMAA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *