#Local News

BODA BODA WAFUNGA BARABARA MLOLONGO

Shughuli za usafiri zimetatizika kwa muda kufuatia maandamano ya wahudumu wa boda boda katika eneo la Mlolongo kwenye barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa wakilalamikia kuteketezwa kwa pikipiki za wenzao kwenye maandamano ya jana.

Kulingana na ripoti za polisi, pikipiki 5 ziliteketezwa wakati wa maandamano ya jana, tukio ambalo limesababisha machungu miongoni mwa wahudumu hao.

Maandamano hayo yamesababisha watumiaji wa barabara hiyo kutumia barabara ya Nairobi Expressway.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

BODA BODA WAFUNGA BARABARA MLOLONGO

MWANGAZA ROHO MKONONI, TENA!

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *