#Local News

FANYA KAMA COVID, WIZARA YA AFYA

Wizara ya afya imezitaka serikali za kaunti kuweka mikakati ya kuwatenga wagonjwa wa Mpox jinsi ilivyokuwa kwa wagonjwa wa vurusi vya Covid 19.

Katika kikao na wanahabari, katibu mkuu katika wizara ya afya Mary Muthoni, amesema serikali kuu itashirikiana na serikali hizo kukabili maambukizi ya ugonjwa huo.

Tayari shirika la afya ulimwenguni WHO na shirika la kukabili maambukizi ya mgaonjwa barani Afrika CDC, yametangaza Mox kuwa dharura.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

FANYA KAMA COVID, WIZARA YA AFYA

KMPDU NANDI YAONYA SERIKALI

FANYA KAMA COVID, WIZARA YA AFYA

TAHADHARI DHIDI YA WANYAKUZI, EACC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *