#Rugby #Sports

KISIA AINGIA IMPALA

Kocha msaidizi wa timu ya taifa ya Kenya raga ya wachezaji saba kwa wanaume, Louis Kisia anatarajiwa kuteuliwa kocha mkuu
#Rugby #Sports

RAGA YA KUKATA NA SHOKA

Wapenzi wa raga wanahakikishiwa kushuhudia utamu uliokolezwa kwenye mkondo ujao wa Kabeberi 7s, mkondo wa nne wa Msururu wa Kitaifa
#Rugby #Sports

MACHO KWA SHUJAA

Beki wa pembeni wa Chuo Kikuu cha Kenyatta Blak Blad RFC Meja Mulongo anaelekeza macho yake kwa timu ya taifa