OGAMBA: KARO HAIJAPANDISHWA
Serikali kwa mara nyingine imewaondolea hofu wazazi kuhusiana na madai ya kuongezeka kwa karo huku wanafunzi wakijiandaa kurejelea masomo, ikisema karo ambayo imekuwa ikilipwa tangu mwaka wa 2019 itasalia bila kubadilika. Haya yanajiri huku wadau mbali mbali akiwemo mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro, wakikosoa mwongozo kuhusu utekelezaji wa masomo ya sekondari ya juu, wakidai kuna […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































