NYONG’O APINGA MSWADA UNAOWAZUIA MAGAVANA WALIOSTAAFU KUGOMBEA VITI VYA UBUNGE

Gavana wa Kaunti ya Kisumu Anyang Nyong’o amelitaka Bunge la Seneti kuondoa Mswada wa Marekebisho ya Katiba ya Kenya wa 2023, unaolenga kuwazuia magavana wa zamani kugombea nyadhifa zingine za uchaguzi. Mswada huo unalenga kuwafungia magavana baada ya kutumikia muhula wao wa miaka 10 afisini. Nyong’o anasema mswada huo ni kinyume cha katiba kwa kuwa […]

SERIKALI YAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA KILIMO

Serikali kupitia wizara ya kilimo imeweka mikakati ya kuimarisha sekta hiyo ili kuafiki utoshelezi wa chakula nchini. Katika taarifa kwa vyombo vya habari kwenye kongamano lililowaleta Pamoja wakulima na washikadau wengine katika sekta hiyo lililofanyika katika chuo kikuu cha kibabi kaunti ya Bungoma katibu wa wizara ya kilimo Jonathan Mueke anasema serikali imejitolea kuwasaidia wakulima […]

UHURU AELEZA MATUMAINI YA DEMOKRASIA AFRIKA KUSINI

Rais mstaafu Uhuru Kenyatta ambaye ni mwangalizi wa uchaguzi mkuu wa afrika Kusini ameeleza matumaini kwamba democrasia itasalia imara nchini humo baada ya uchaguzi uliofanyika kukamilika juzi. Katita kikao na wanahabari jana jioni Uhuru aliipongeza uthibiti wa wananchi wa afrika kusini kwa kuwa wavumilivu zaidi hukju akionyesha iamani na uwezi wa tume ya uchaguzi kushugulikia […]

MAHOJIANO KWA MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI YAAHIRISHWA

Mahojiano ya majaji wa Mahakama ya Rufa yameahirishwa. Tume ya Utumishi wa Mahakama imesema kuwa mahojiano hayo ambayo yalipangwa kufanyika kati ya tarehe 3 hadi 20 Juni, yatafanyika kati ya tarehe 18 Juni na 9 Julai Tume ya Utumishi wa Mahakama iliorodhesha wagombea 41 wa nyadhifa za majaji wa Mahakama ya Rufani mwezi Aprili, ikijumuisha […]

IPOA YACHUNGUZA KIFO CHA MFUNGWA NAIROBI

Maafisa wa polisi na mamlaka ya IPOA wameanzisha uchunguzi baada ya mwanaume mmoja aliyekuwa amekamatwa na kuzuiliwa katika celi za kamukunji jijini Nairobi kuaga dunia. Mwanaume huyo kwa jina Mutembei alianguka na kuzirai akiwa katika celi kabla ya kukimbizwa katika hosipitali ya kitaifa ya Kenyatta kabla ya kuaga dunia. Mtembei alikuwa amekamatwa na kuzuiliwa kwa […]

KUTEULIWA KWANGU HAKUJA KAMA MSHANGAO KOMPANY ASEMA

Kocha Vincent Kompany aliwasilishwa rasmi kama kocha mpya wa Bayern Munich hapo njana akisisitiza  taarifa hizo hazikuja kwa  mshangao kuteuliwa kwake kama kocha. Uamuzi wa Bayern kumteua mlinzi huyo wa zamani wa Manchester City mwenye umri wa miaka 38 uliwashangaza watu wengi kwa sababu harakati zake za kwanza za kuinoa Premier League zilimalizika kwa timu […]

COLLINS KUBAYO AREJEA KATIKA KIKOSI CHA PIRATES

Collins Kabayo, mshambuliaji wa Klabu ya Raga ya south coast pirates , ameonyesha  furaha yake kubwa baada kurejea kwenye kikosi kwa mara ya kwanza katika Msururu wa Rugby Super Series 2024. Kabayo, ambaye pia alichezea klabu ya Simba ya KCB, ameshukuru kwa fursa hii ya  kushindana katika kiwango cha juu. Mechi ya kwanza aliyoicheza ilikua […]

TUKO TAYARI KWA MECHI ASEMA KOCHA PAUL MURUNGA

Kocha Mkuu wa Kenya Harlequins Paul Murunga ameelezea imani yake katika utayari wa timu hiyo kabla ya mechi ya Jumamosi ya nusu fainali ya Kombe la Enterprise dhidi ya KCB uwanjani Ruaraka. Timu ya Harlequins ina imani kuwa inaweza kufika fainali na kutwaa Kombe la Enterprise, taji ambalo walishinda mara ya mwisho mwaka wa 2011. […]

KUNANI KATIKA CHAMA CHA UDA?

Malumbano ndani ya chama cha UDA yamechukua mkondo mwingine wakati ambapo bodi ya uchaguzi ya chama hicho ikifutilia mbali taarifa iliyokuwa imetolewa na katibu mkuu wa chama hicho Cleophus Malala kuahirisha uchaguzi ambao umepangiwa kufanyika katika kaunti 10 leo hii. Mwenyekiti wa bodi hiyo Antony Mwaura anasema uchaguzi huo utaendelea jinsi ilivyoratibiwa katika kaunti za […]

AZIMIO WAKOSOA MSWADA WA FEDHA

Mswada wa fedha wa 2024-2025 unaendelea kukosolewa kufuatia madai ya kutaka kuongezea wakenya mzigo wa kulipa kodi zzaidi wakati ambapo wakenya wanaendelea kukabiliwa na hali ngumu ya Maisha. Viongozi wa upinzani wakiukashifu mswada huo kwa madai kwamba wakenya hasa walio na mapato ya chini ndio ambao watakaoendelea kukandamizika zaidi iwapo mswada huo utapitishwa. Kiongozi wa […]