WALIMU WA JSS WADAI KUPEWA KANDARASI YA KUDUMU NA TSC
Walimu wa sekondari ya msingi JSS wamefanya maandamano katika kaunti mbali mbali humu nchini kushinikiza serikali kuwaajiri kwa kandarasi ya kudumu. Kulingana na walimu hao tume ya huduma za walimu TSC imekiuka agizo la mahakama kuitaka kuwapa kandarasi ya kudumu baada ya kuhudumu kama walimu wanagenzi kwa Zaidi ya mwaka mmoja unusuMaandamano hayo yanajiri wakati […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































