KAMBI MPYA ZA WAADHIRIWA WA MAFURIKO
Serikali ya kitaifa imeanzisha shughuli ya kuweka kambi mpya za kuwasaidia waathriwa wa mafuriko waliomo kwenye hifadhi katika shule mbali mbali. Katibu katika wizara ya uslama wa ndani na masuala ya nchi Raymond Omollo, amesema uamuzi huo unalenga kuwezesha shughuli za masomo kurejelewa ipasavyo shule zitakapofunguliwa wiki ijayo. Akizungumza wakati wa upanzi wa miche kaunti […]
English 




















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































