MARA SUGAR WALAMBA SUKARI YA USHINDI

Klabu ya Soka ya Mara Sugar imetawazwa rasmi kuwa mabingwa huku pazia la FKF National Super League (NSL) msimu wa 2024  hapo jana , katika uwanja wa Police Sacco licha ya kushindwa kwa bao 1-2 na Vihiga Bullets katika mchezo wao wa mwisho wa Ligi Kuu ya Kitaifa Jumapili jioni, Denilson Imbayi alianza kuifungia Vihiga […]