MATARAJIO YA WAFANYAKAZI LEBA DEI
Huku Kenya ikijiunga na ulimwengu kuadhimisha siku ya wafanyakazi, Leba dei, wafanyakazi nchini wanatarajia tangazo la nyongeza ya mishahara kwa asilimia 23 kutokana na ongezeko la gharama ya maisha. Katibu mkuu wa muungano wa vyama vya wafanyakazi, COTU, Francis Atwoli, amesema kuwa maafisa wakuu serikalini, wawakilishi wa mashirika na vyama mbali mbali wanatarajiwa kuhudhuria sherehe […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































