JIJI LA MIJENGO OVYO
Imeibuka kwamba asilimia 55 ya majengo jijini Nairobi si salama na yamo katika hatari ya kuporomoka iwapo patatokea mtetemeko wa ardhi wa kiwango chochote. Haya ni kulingana na muungano wa watalaam wa mijengo, wakitaka hatua kali kuchukuliwa dhidi ya waliohusika kwenye ujenzi wa jengo lililoporomoka mtaani South C wakati wa ujenzi na kuwaua watu wawili. […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































