MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA HIV YAPUNGUA KENYA

Wizara ya afya imetangaza kupungua kwa maambukizi ya virusi vya HIV kwa asilimia 68. Kwa mujibu wa wizara ya afya mambukizi ya HIV kutoka kwa wamama wajawazito hadi kwa Watoto wao vile vile yamepungua kwa asilimia 65. Akizungumza katika kongamano la kuimarisha utoaji wa huduma za HIV mkuu wa idara ya afya ya familia katika […]

FKF YAOMBWA KUHARAKISHA UJENZI WA VIWANJA

Serikali na Shirikisho la Soka la Kenya wamehimizwa kuharakisha ujenzi wa viwanja vya soka vya hadhi ya kimataifa na vilivyoidhinishwa na FIFA, ili kusaidia kukuza vipaji na kuandaa mechi za kimataifa. Hii ni baada ya timu ya taifa ya soka ya wanawake U17, Junior Starlets, kuweka historia kwa kufuzu kwa Kombe la Dunia la FIFA […]

NI NAFASI YA CHIPUKIZI WA STARLETS KUNG’AA

Timu Ya Harambee Stars U23 Itawakilisha Nchi Katika Kombe Lijalo La Cosafa 2024, Ambalo Kenya Imealikwa Kama Mshiriki Mgeni. Shirikisho La Soka La Kenya Linasema Hii Inalingana Na Maono Yake Ya Kutoa Jukwaa Kwa Nyota Wanaochipukia Wa Taifa Hili Kupata Uzoefu Wa Kimataifa Na Kutangaza Vipaji Vyao. Kocha Ken Odhiambo Ametaja Kikosi Chake Ambacho Kinajumuisha […]

KIKOSI CHA KENYA CHAWASILI MOROCCO TAYARI KWA OLYMPIKI.

Timu Za Kenya Za Voliboli Ya Ufukweni(Beach Volleyball)  Zilisafiri Kwa Makundi Mawili Kwa Michezo Ya Afrika Ya Mpira Wa Wavu Ya Ufukweni Kuwania Kufuzu Kwa Olimpiki, Mechi Zilizo Anza Jana Mjini Tetouan, Morocco. Kundi La Kwanza La Naomi Too Na Brian Melly Pamoja Na Mkuu Wa Ujumbe Neddy Kilimo Liliondoka Jana Asubuhi Huku Kundi La […]

OSORO KWA WAKENYA: UNATARAJIAJE BARABARA, UMEME NA AJIRA BILA USHURU ZAIDI?

Mbunge wa Mugirango Kusini Silvanus Osoro amewakosoa Wakenya wanaopinga Mswada wa Fedha wa 2024 kuhusu msururu wa ushuru wa ziada unaopendekeza. Mswada huo ambao umepingwa na wengi imekuwa kiini cha mabishano kati ya wabunge na Wakenya vile vile ilishuhudia maandamano jijini kabla ya kuwasilishwa kwake mbele ya Bunge. Imetayarishwa na Janice Marete

WABUNGE KUCHUKUA MDA ZAIDI KUJADILI MSWADA WA FEDHA

Mjadala kuhusu mswada wa fedha wa mwaka 2024 unatarajiwa kuanza rasmi hii leo. Mswada huo umewasilishwa katika bunge la kitaifa wakati ambapo spika wa bunge la kitaifa Moses Masika Wetangula amewataka wabunge wawe wavumilivu kwani vikao vya leo huenda vikadumu kwa muda murefu zaidi. Imetayarishwa na Janice Marete

WAACHILIWE AMA TUKUTANE MAHAKAMANI; BABU OWINO AMWONYA INPECKTA JAPHETH KOOME

Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino amekashifu kukamatwa kwa wandamanaji ambao walikamatwa hapo jana na polisi jijini nairobi wakatiandamana kupinga mswada wa fedha wa 2024-2025  na kutishia kuelekea mahakamani iwapo hawataachiliwa mara moja. Imetayarishwa na Janice Marete

MAANDAMANO NI HAKI YA WANANCHI

Wanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu wamejitokeza kukashifu hatua ya maafisa wa polisi kuwafyatulia vitoa machozi waandamanaji jijini Nairobi walioandamana kupinga mswada wa fedha wa mwaka 2024-2025. Mwanzilishi wa shirika la Mathare Social Justice Center Wanjira Wanjiru amesema kuwa kila mkenya ana haki ya kuandamana kushinikiza serikali itekeleze wajibu wake Wanjiru aidha ameongeza kuwa maandamano […]

WAKENYA WAPUMUA, KWA MUDA

Serikali imefanyia marekebisho mswaad wa kifedha wa mwaka 2024-25 na kuondoa baadhi ya mapendekezo ya ushuru wa bidhaa muhimu kama mkate na huduma za kutuma pesa kwa njia ya simu kutokana na malalamishi ya wakenya. Katika taarifa baada ya kikao cha wabunge wa kenya kwanza kilichooongozwa na Rais William Ruto katika Ikulu, mwenyekiti wa kamati […]

“MBEBA MAONO NI MIMI!” LUSAKA ASEMA KWENYE MAGEUZI

Gavana wa kaunti ya Bungoma Ken Lusaka amefanya mageuzi katika baraza lake la mawaziri na kuwateua maafisa wakuu wapya katika wizara mbali mbali katika kile alichosema kuimarisha utendakazi Miongoni mwa wlaioathirika ni Hebert Kibunguchi ambaye amehamishwa kutoka idara yam aji hadi idara ya elimu na kuchukua mahali pa David Wamamili ambaye amehamishiwa idara ya biashara. […]