WAKAAZI WA MIGORI WALALAMIKIA KUMWAGIKA KWA KEMIKALI ZENYE SUMU KUTOKA KWA MIMEA INAYOSAFISHA DHAHABU
Wakaazi wa eneo la Oruba-Siany kaunti ya Migori wameibua wasi wasi wao kufuatia kumwagika kwa kemikali zenye sumu kutoka kwa baadhi ya mitambo ya uchenjuaji dhahabu katika eneo hilo. Wakaazi hao sasa wanatafuta uingiliaji kati wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kusimamia Mazingira (NEMA) huku wakisema wanyama wao wamekufa baada ya kunywa maji yaliyochafuliwa na zebaki […]
English 


































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































