KAUNTI YA BARINGO CHINI YA UCHUNGUZI WA SENETI DHIDI YA AKAUNTI 304 ZA BENKI
Bunge limeiagiza Serikali ya Kaunti ya Baringo kutoa stakabadhi zinazoelezea makubaliano kati ya kaunti hiyo, Mdhibiti wa Bajeti na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu kuhusu kufunguliwa kwa akaunti 304 za benki kinyume cha sheria. Maseneta walitoa agizo hilo jana Jumatatu Gavana wa Baringo Benjamin Cheboi alipofika mbele ya Kamati ya Seneti kuhusu Ugatuzi na […]
English 




































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































