LISHE HATARI YAWAUA 4 KITUI
Polisi katika eneo la Kyuso kaunti ya Kitui wanachunguza kisa ambapo watu 4 kutoka Kijiji cha Nganda wamefariki baada ya kula chakula kinachoshukiwa kuwa kibovu. Akithibitisha vifo hivyo, OCPD wa Kyuso Edwin Otieno, amesema waathiriwa walikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wamekutana nyumbani wka mkazi mmoja eneo hilo ambako walishiriki chakula cha Pamoja, na kisha wakaanza […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































