KABRAS WAZIDI KULAMBA SUKARI
Kabras RFC ilishinda mkondo wa christie sevens wa msururu wa kitaifa wa 7s baada ya kuwalaza wenyeji kenya harlequins 17-12 katika fainali jana jumapili. Akizungumza baada ya mechi ya fainali, kocha wa timu ya wachezaji saba wa kabras, felix khaemba alisifu azma ya timu yake kurejea katika njia za ushindi. Kwa upande wake, kocha mkuu […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































