AUAWA KWA KUPIGWA RISASI KIAMBU
Maafisa wa upelelezi wanachunguza kisa ambapo mwanamume mmoja amepigwa risasi na kuuawa na watu wasiojulikana katika eneo la Kist, mji wa Kiambu. Polisi wamefika eneo la tukio na kukuta maiti ya mtu asiyejulikana mwenye umri wa takriban miaka 27 ikiwa imelala kando ya pikipiki. Mwili huo ulikuwa na jeraha moja la risasi kifuani huku cartridge […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































