MIAKA 40 GEREZANI KWA KUMUUA MKEWE NA WATOTO WAKE WANNE

Paul Murage Njuki, mwanaume aliyemuuwa mkewe na watoto wake wanne mnamo Novemba 28, 2021, amehukumiwa kifungo cha miaka 40 gerezani. Njuki alijisalimisha kwa kituo cha polisi cha Kirinyaga, ambapo amekuwa akizuiliwa kabla ya kupelekwa kwenye Mahakama ya Gichugu. Mahakama Kuu ya Kerugoya kaunti ya Kirinyaga imemhukumu Njuki baada ya kupatikana na hatia ya kuua familia […]

MBUNGE KOECH: MUDAVADI ATAITWA KUFAFANUA UTEKAJI NYARA WA BESIGYE

Mbunge wa Belgut, Nelson Koech ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Mahusiano ya Kigeni katika Bunge la Kitaifa amesema kuwa Waziri wa Mambo ya nje, Musalia Mudavadi, ataitwa mbele ya kamati ya bunge la kitaifa ya ulinzi kutoa ufafanuzi kuhusu utekaji nyara wa kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye. Inaripotiwa kuwa […]

CHERARGEI: TULISALIMIWA NA GEN-Z TUKAENDELEA NA VIKAO VYA BUNGE

Bunge la kaunti ya Nandi limesalia mahame kwa siku 6 kwa sasa baada ya vurugu iliyoshuhudiwa bungeni humo na kusababbisha uharibifu mkubwa. Seneta wa kaunti ya Nandi Samson Cherargei amewataka wabunge wa kaunti hiyo kurejea bungeni ili kuendeleza shughuli za kuangazia ripoti ya kamati iliyowasilishwa mbele yake na kutoa ripoti kwa umma. Kulingana na Cherargei […]

WAKAAZI WA MOMBASA: RUTO NI WA MANENO MATAMU BILA VITENDO

Huku rais William Ruto akitarajiwa kuhutubia wabunge wa mabunge yote mawili mchana wa leo, wakenya kutoka maeneo mbali mbali wamejitokeza kueleza matarajio yao kutokana na hotuba hiyo. Katika kaunti ya Mombasa baathi ya wakaazi wanasema kuwa hawana matumaini kwamba rais Ruto atakuwa na loloto jipya la kumfaidi mken yawa kawaida. Kulingana nao rais ruto ataendelea […]

ULINZI STARLETS WAFIKA NAFASI YA SABA

Mabingwa wa Kombe la Wanawake la Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) Ulinzi Starlets waliruka hadi nafasi ya saba kwenye logi ya Ligi Kuu ya Wanawake ya Kenya baada ya kulaza 4-0 Olimpiki ya Mombasa yenye maskani yake Pwani katika mechi iliyoratibiwa upya ya KWPL iliyochezwa Jumatano alasiri katika uwanja wa Ruaraka Grounds jijini Nairobi. […]

CHELSEA YAFUZU KWA ROBO FAINALI KWA LIGI YA KINA DADA

Chelsea ilifuzu kwa robo-fainali ya Ligi ya Mabingwa ya Wanawake Jumatano kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Celtic, huku Lyon na Real Madrid pia wakijikatia tiketi katika awamu ya muondoano. Mchezaji wa kimataifa wa Uingereza Lucy Bronze alifunga kwa dakika ya pili kwenye Uwanja wa Stamford Bridge na kiungo Mholanzi Wieke Kaptein akifunga kwa kichwa […]

HAKUNA MALIPO KWAKO

Waziri wa michezo Onesmus Kipchumba Murkomen amesema serikali haitaendelea kumlipa kocha mkuu wa Harambee Stars Engin Firat baada ya kushindwa kuisaidia timu ya taifa ya soka Harambee Stars kufuzu katika kipute cha mwaka ujao cha kombe la mataifa ya Afrika (AFCON) na badala yake watampiga kalamu. Murkomen akizungumza hapo jana kwenye makao makuu ya wizara […]

ODEMBA KUONGOZA POLICE FC

Kocha wa Harambee Starlets, Beldine Odemba ataiongoza timu ya Ligi Kuu ya soka la wanaume Kenya Police FC dhidi ya Kariobangi Sharks katika mechi yao ya Jumamosi, baada ya kutimuliwa kwa Salim Babu na benchi lake zima la ufundi hapo jana. Odemba, ambaye pia ni kocha mkuu wa Police Bullets, atasimamia upande wa wanaume kwa […]

JUHUDI ZA MASKAUTI KUIMARISHA LISHE POKOT

Katika juhudi za kuimarisha masomo kwa kupunguza muda unaopotezwa wakati wa kusaka chakula cha mchana, chama cha maskauti katika kaunti ya Pokot Magharibi kimeanzisha mafunzo kwa wanafunzi na baadhi ya shule kuhusu umuhimu wa kukuza vyakula shuleni. Kulingana na chama hicho, hatua hiyo itawawezesha wanafunzi kutumia muda huo kusoma na hivyo kuboresha masomo yao. Kaunti […]

FEDHA ZA KAUNTI: SIFUNA APENDEKEZA BUNGE KUVUNJWA

Utata kuhusu madai ya kucheleweshwa kwa fedha za kaunti umechukua mkondo tofauti, seneta wa Nairobi Edwin Sifuna akipendekeza kuvunjwa kwa bunge la kitaifa iwapo maamuzi muhimu ya bunge hilo yatakuwa yakifanywa na serikali tendaji. Amekuwa akirejelea kauli za waziri wa fedha John Mbadi kwamba serikali za kaunti hazitaongezewa mgao wa fedha jinsi maseneta walivyopendekeza. Haya […]