UOKOAJI WAENDELEA KWENYE MGODI KAKAMEGA
Familia za waathiriwa waliokwama kwenye vifusi baada ya kuangukiwa na ukuta wa mgodi wa dhahabu katika eneo la Shinyalu kaunti ya Kakamega zimehakikishiwa kuwa shughuli za uokoaji zitaendelea hadi wapendwa wao watakapookolewa. Zoezi la uokoaji linaongozwa na maafisa wa usalama kwenye kaunti hiyo, wachimbaji migodi 12 wakihofiwa kukwama ndani ya mgodi huo. Jumla ya wachimba […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































