WANAHARAKATI WASHINIKIZA NJERI AACHILIWE
Huenda shughuli za biashara zikatatizika hii leo jijini Nairobi kutokana na maandamano ya wanaharakati ambao wametangaza kuandamana ili kushinikiza kuachiwa huru kwa mwenzao Rose Njeri aliyekamatwa Ijumaa iliyopita na kuzuiliwa katika kituo cha polisi cha Pangani. Njeri alikamatwa baada ya kutengeneza tovuti inayowawezesha wakenya kupinga mswada wa fedha wa mwaka wa 2025/26, huku juhudi za […]
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































