MUFUTU AKIRI UTEPETEVU KWA KIKOSI CHAKE

KOCHA Mkuu wa Ulinzi Warriors, Bernard Mufutu amekiri kwamba kutokuwa na uwiano ndio sababu kuu iliyowafanya kupoteza mchezo wao dhidi ya magwiji wa Mamlaka ya Bandari ya Kenya (KPA) katika Ligi ya Kitaifa ya Mpira wa Kikapu ya Kenya. Wanajeshi hao walifungwa 89-81 na Dockers kwenye Uwanja wa Gymnasium ya Makande, Mombasa siku ya Jumapili. […]

UWANJA WA KASARANI UKO TAYARI KWA CHAN

Waziri wa Michezo Salim Mvurya amethibitisha kua uwanja wa Moi, Kasarani, sasa uko tayari kuandaa Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) ya 2025 inayotarajiwa kufanyika Agosti. Mvurya alitoa taarifa hiyo baada ya kupokea rasmi kiwanja hicho kutoka kwa mkandarasi aliyepo eneo la tukio, ikiwa ni hatua muhimu katika maandalizi ya Kenya kuwa mwenyeji […]