UASU YATISHIA KUITISHA MGOMO
Muungano wa wafanyikazi wa vyuo vikuu Uasu umetishia kuwaagiza wanachama wake kususia kazi kuanzia mwezi Septemba iwapo serikali itatekeleza mpango wowote wa kuwaachisha kazi wahadhiri wa vyuo vikuu. Wakiongozwa na katibu wa Uasu Constantine Wasonga wamepuuzilia mbali usemi wa waziri wa fedha John Mbadi kuwa serikali haina fedha za kutosha kufadhili elimu. Imetayarishwa na Maureen […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































