WASHUKIWA 2 WAPIGWA RISASI MATHARE

Washukiwa 2 wa wizi wa kimabavu walipigwa risasi na polisi katika mtaa wa Mathare hapa Nairobi. Polisi wanasema wawili hao walitumia vurugu zilizotokea kwenye barabara ya Outer ring kuwapora watu waliokuwa wakitembea kwa miguu kwenye barabara ya Juja. Vifaa mbali mbali vya wizi vilipatikana kutoka kwa washukiwa hao huku mmoja akifanikiwa kutoroka. Imetayarishwa na Maureen […]

SESKO AKARIBIA KUINGIA MANCHESTOR UNITED

Msako wa Manchester United wa kumtafuta mshambuliaji mpya wa kati msimu huu unaonekana kufanikiwa kumpata mshambuliaji wa RB Leipzig Benjamin Sesko. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Slovenia aliifungia timu yake mabao 21 katika mashindano yote msimu uliopita, yakiwemo manne katika mechi nane za Ligi ya Mabingwa. Mabao yake yalisalia sawa licha ya Leipzig kuhangaika katika […]

SAID ASHUTUMU KIKOSI CHAKE

Kocha mkuu wa Kisumu All Starlets Juma Said ametaja mashambulizi butu ya timu na ukosefu wa ubunifu kwa uchezaji wao mbaya katika Ligi Kuu ya Wanawake ya 2024/25 ya Kenya. Said alibaini kuwa fowadi wake wa kati Monicah Etot hakuwa katika kiwango chake bora, na washambuliaji wengine pia, jambo lililochangia kurudisha mabao yao duni. Mtaalamu […]

SHIKANGA ANA IMANI KIKOSI CHAKE KITATUA USHINDI

Kocha mkuu wa Shule ya Upili ya Serani, Alex Shikanga, anajawa na ujasiri huku wavulana wake wakijiandaa kutwaa ubingwa wa Michezo ya Kitaifa ya Shule ya Upili ya 2025, inayotarajiwa kuanza Jumanne, Julai 28, Kakamega. Kocha Shikanga alikiri changamoto iliyo mbele yako lakini akaeleza imani kuwa kikosi chake kiko tayari kwa hatua hiyo kubwa. Serani […]

BAJABER INJE YA CHAN

Maandalizi ya Kenya kwa ajili ya michuano ya Mataifa ya Afrika (CHAN) 2024 yamepata pigo kubwa kufuatia kuondokewa na kiungo mshambuliaji, cheche mbunifu Mohammed Bajaber, ambaye amekamilisha uhamisho wa kiwango cha juu kwenda kwa wababe wa Tanzania, Simba SC. Kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Kenya, kiungo mshambuliaji wa Police FC amesaini mkataba wa […]

SHA KUSIMAMIA MATIBABU YA SARATANI

Ni afueni kwa wagonjwa wa saratani baada ya wizara ya afya kuanzisha mazungumzo na kampuni ya kutengeneza dawa ya Roche ili kupunguza gharama ya dawa na matibabu ya saratani kwa jumla. Akiongea kwenye kongamano la saratani waziri wa afya Aden Duale anasema gharama hiyo itapunguzwa kutoka shilingi 120,000 kila awamu hadi shilingi 40,000 . Duale […]

WASHUKIWA WA WIZI WA UMEME KIRINYAGA WAKAMATWA

Washukiwa 5 wa wizi wa vifaa vya umeme wamekamatwa katika maeneo tofauti mjini Kagio kaunti ya Kirinyaga wakihusishwa pia na wizi wa umeme. Tano hao wamenaswa kwenye oparesheni iliyoendeshwa na kundi la usalama la Kplc na kupatikana na vifaa vilivyokuwa vimeibwa ikiwemo mita za kuweka umeme. Meneja wa tawi la Kirinyaga Mhandisi Ruto Kipkorir anasema […]

MCAS BUNGOMA WACHUNGUZWA NA EACC

Waakilishi wadi 6 kaunti ya Bungoma wanachunguzwa na maafisa wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi Eacc kwa madai ya kujihusisha na biashara na kaunti kinyume na sheria. Wahusika wanadaiwa kutumia kampuni zinazomilikiwa na jamaa na wandani wao kuchukua tenda za miradi ya ujenzi zinazogharimu mamilioni ya fedha. Zaidi ya shilingi milioni 140 zinadaiwa […]

10 Proven Budget Management Strategies for Online Casino Players at Golden Mister

10 Proven Budget Management Strategies for Online Casino Players at Golden Mister Online gambling can be a lot of fun, but it can also drain your wallet if you don’t plan ahead. Knowing how to manage your bankroll is the first step toward a safe and enjoyable experience. Below you’ll find ten practical tactics that […]

KOOME AJITENGA NA KUAGIZA MASHTAKA YA UGAIDI

Jaji mkuu Martha Koome anasema itakuwa jukumu la mkurugenzi wa mashtaka ya umma na uchunguzi unaoendeshwa na polisi kubaini iwapo waandamanaji waliokamatwa baada ya watafunguliwa mashtaka ya ugaidi au la. Akiongea huko Mombasa Koome anasema matamshi aliyoyatoa baada ya kutembelea mahakama ya Kikuyu iliyoteketezwa hayawezi kutumika kuwafungulia wahusika mashtaka ya ugaidi. Imetayarishwa na Maureen Mukhobe