GOR YAACHILIA WACHEZAJI WAKE
Mwenyekiti wa Gor Mahia Ambrose Rachier amesema wazi kwamba watawaachilia wachezaji ambao kandarasi zao zimeisha, akifichua hawataongeza kandarasi zao. Rachier aliongeza kuwa pia watawaachilia wachezaji walioshuka viwango, kuanzia na wenye kutotumika sana na wenye kukosa uthabiti. Mwenyekiti huyo wa muda mrefu alisema hayo jana baada ya kutimua benchi zima la ufundi kufuatia matokeo mabaya ya […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































