MAAFISA 4 NYAMIRA KUSHTAKIWA NA UFISADI
Maafisa 4 wakuu katika serikali ya kaunti y Nyamira wanatarajiwa mahakamani hii leo kufunguliwa mashtaka ya ufisadi baada ya kukamatwa hapo jana na maafisa wa tume ya kukabili ufisadi EACC. Mkurugenzi wa idara ya nyumba Lameck Machuki, mwezake wa barabara Peris Muse, afisa mkuu wa fedha Assanet Maube na mwenzake wa barabara Josphat Oruru walikamatwa […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































