MATUMAINI YA NAIBOIS CAF YAFIFIA

Azma ya klabu ya Nairobi United kuingia awamu ya mwondoano katika dimba la mashirikisho ya CAF lipata pigo jingine hapo jana baada ya kupokezwa kichapo cha bao 1-0 nyumbani dhidi ya AS Maniema ya DR Congo. Hicho kilikuwa kichapo cha pili baada ya kupoteza mechi ya ufunguzi ya makundi wikendi iliyopita dhidi ya Wydad Casablanca. […]

JUNIOR STARS WAZIMWA NA TANZANIA

Timu ya taifa ya Tanzania na Uganda Cubs kwa wachezaji wasiozidi umri wa miaka 17 zimefuzu dimba la AFCON U17 litakaloandaliwa nchini Morocco mwaka ujao. Tanzania ilipata tiketi ya kuwakilisha ukanda wa CECAFA kwenye mashindano hayo baada ya kuizima Junior Stars ya Kenya kwa mabao 3-1 nchini Ethiopia. Kwa upande wao, Uganda Cubs waliwabandua wenyeji […]

The distinctive form provides versatility that I recognize

The Most Effective Sex Toys, Examined And Reviewed Popular Science Throw in a double dong, a couples vibrator for some companion play—hey, why not? With these parameters in thoughts, we pored over hundreds of critiques to slender down one of the best intercourse toys for girls, and couples shoppers are raving about. From wearable app-controlled […]

NAIROBI YAONGOZA KWA MAAMBUKIZI YA UKIMWI

Kaunti ya Nairobi ndiyo inayoongoza kwa maambukizi ya ugonjwa wa UKIMWI, maambukizi mapya yakiongezeka kwa asilimia 19, ambayo ni sawa na watu 19,991 katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Haya ni kwa mujibu wa takwimu za kituo cha kudhibiti magongwa cha NSDCC, zikionyesha kuwa asilimia 60 ya mamabukizi mapya yalirekodiwa katika kaunti 10 ambazo ni […]

PVK YAKOSOA GHASIA ZA UCHAGUZI

Muungano wa Pentecostal Voice of Kenya PVK umeonya kuhusu uwezekano wa kuzuka kwa ghasia za baada ya uchaguzi mkuu ujao jinsi ilivyoshuhudiwa kwenye chaguzi ndogo wiki jana, iwapo taasisi husika hazitachukua hatua madhubuti. Kwenye kikao na wanahabari, mwenyekiti wa muungano huo Apostle Peter Manyuru ambaye ni kiongozi wa kanisa la JTM, ametoa wito kwa tume […]

POLISI WAKANA KUVURUGA IBADA YA GACHAGUA

Idara ya polisi NPS imejitenga na madai kwamba maafisa wake walikuwa na nia ya kuvuruga ibada iliyokuwa ikihudhuriwa na aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua mtaani Kariobangi North jijini Nairobi, ikisema maafisa hao walikiwa wakizuia vurugu. Kwenye taarifa, NPS imesema polisi walikuwa wakilizuia kundi la vijana kuingia kwenye kanisa hilo kabla ya kundi la pili kuwasili […]

UPINZANI KUPINGA MATOKEO YA CHAGUZI MAHAKAMANI

Muungano wa upinzani umetangaza kuelekea mahakamani wiki hii kupinga matokeo ya chaguzi ndogo hasa katika maeneo bunge ya Malava na Mbeere North zilizofanyika wiki jana, kwa misingi kwamba kulikuwa na ukiukaji wa sheria wakati wa chaguzi hizo. Kwa mujibu wa kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka, kulikuwa na vurugu, kuwahonga na kuwatisha wapiga kura miongoni mwa […]

AVIATION FM YAPAA 

Aviation Radio ndiyo Gospel Radio Station of the year mwaka wa 2025, baada ya kuibuka mshindi katika tuzo ya Kibali kwenye dhifa iliyoandaliwa Jumamosi. Akizungumza kwenye sherehe hizo zilizotamalaki shangwe na nderemo, meneja wa kituo hiki Joseph Saasia maarufu kama Yombo, aliahidi kuboreshwa zaidi kwa matangazo ya kituo hiki, akiwahimiza wasikilizaji kuendelea kusikiliza Aviation FM. […]