DUALE AKANUSHI KUSHIRIKA DATA ZA KIBINAFSI

Waziri wa afya Aden Duale amekanusha madai kwamba kenya itashiriki rekodi za kibinafsi za matibabu na marekani chini ya mfumo mpya wa ushirikiano wa afya wa kenya na marekani. Duale amesisitiza  kuwa makubaliano hayo yanaruhusu tu ubadilishanaji wa data iliyojumlishwa ya afya, akisisitiza kwamba hakuna vitambulisho vya kipekee vya kibinafsi ikiwa ni pamoja na faili za matibabu vitapatikana kwa serikali […]

8 strategie vincenti per scegliere le slot non AAMS su Cinquequotidiano

8 strategie vincenti per scegliere le slot non AAMS su Cinquequotidiano Le slot a tema sono il cuore pulsante dei casino online non AAMS. Dal deserto egizio alle vette di Valhalla, ogni gioco racconta una storia che può trasformare una semplice puntata in un’avventura memorabile. Ma come scegliere le slot più adatte alle proprie esigenze, soprattutto […]

ARTETA AHOFIA MAJERAHA TISHIO KWA ARSENAL

Meneja wa Arsenal Mikel Arteta, amehofia kuwamba ongezeko la matatizo ya majeraha litatatiza azma ya klabu hiyo kutwaa taji la ligi kuu ya Uingereza EPL msimu huu, baada ya kiungo Declan Rice na beki wa kati Cristhian Mosquera kuondoka uwanjani wakichechemea jana usiku. Wawili hao walikuwa nguzo kwenye ushindi wa Arsenal wa mabao 2-0 dhidi […]

NYOTA WA AFRIKA WAONGEZEWA WIKI NA FIFA

Wachezaji Nyota wa bara Afrika kama vile Mohammed Sala wa Liverpool, Bryan Mbeumo wa Manchester United na Achraf Hakimi wa PSG watachezea klabu zao kwa wiki moja zaidi hadi 15 mwezi huu kabla ya kujiunga na timu zao za taifa katika mashindano ya mataifa bingwa barani Afrika AFCON. Haya ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa […]

KIKOSI CHA TAEKWONDO ROHO JUU LICHA MWANZO MBOVU

Timu ya taifa ya mchezo wa Taekwondo imedumisha matumaini ya kufanya vyema licha ya mwanzo mbaya katika mashindano ya dunia ya mchezo huo kwa wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 yaani World U21 Taekwondo Championships yaliyoanza rasmi hapo jana ugani Kasarani jijini Nairobi. Pambano hilo la wiki moja limewavutia wachezaji wachanga kutoka pembe zote za […]

MOYES AMTETEA JACK GREALISH BAADA YA USHINDI DHIDI YABOURNEMOUTH

Kocha wa Everton, David Moyes, amesisitiza kuwa Jack Grealishhajakuwa mchezaji wa kukatisha tamaa, baada ya winga huyo kufunga bao lake la pili msimu huu na kusaidia The Toffees kushinda1-0 dhidi ya Bournemouth, Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30, ambaye alipoteza nafasiyake kwa Pep Guardiola msimu uliopita, alikuwa amefunga bao mojapekee katika mechi zake 14 […]

FKF YAAPA KUBORESHA MAENDELEO YA SOKA LA VIJANA

Rais wa Shirikisho la Soka nchini, Hussein Mohammed, ameashiriakuimarishwa kwa mpango wa maendeleo ya soka la vijana baada yaJunior Stars kukosa tiketi ya kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika kwaVijana Wasiozidi Miaka 17 mwaka 2026. Hii inafuatia kichapo cha 3-0 walichopokea kutoka kwa wenyejiEthiopia katika mechi ya kuamua mshindi wa nafasi ya tatu kwenyeCECAFA, iliyochezwa […]

TIMU YA HIT SQUAD YAONDOKA KUELEKEA MASHINDANO YA DUBAI

Kikosi cha ndondi cha taifa, Hit Squad, kimeondoka jana usikukuelekea Dubai kushiriki kwenye mashindano ya kihistoria ya IBAMen’s World Boxing Championships, .Mashindano haya yanatajwa kuwa yenye zawadi nono zaidi katikahistoria ya ndondi, yakiwa na jumla ya dola milioni 8.32, ambapomabondia 104 bora watapata mgao wa kitita hicho.Wapiganaji watashindana kwenye uzito 13 tofauti, kuanzia minimumweight ya […]

KENYA TAYARI KUWAKILISHA U-21 TAEKWONDO

Timu ya Kenya iko tayari kung’ara nyumbani wakati Mashindano yaDunia ya Taekwondo ya Wachezaji Chini ya Miaka 21 yanapoanza hiileo katika Ukumbi wa Kasarani Indoor Arena. Kikosi cha wachezaji 16 kimekuwa kikijifua katika Kenya Academy ofSports, na kiko tayari kutoa maonyesho ya kuvutia mbele yamashabiki wa nyumbani. Mashindano haya ya kwanza kabisa yamevutia mataifa 77 […]

CITY WAIKARIBIA ARSENAL

Mshambulizi wa Manchester City Erling Haaland alivunja rekodi ya Alan Shearer na kuwa mchezaji wa kasi zaidi kufikisha magoli 100 katika ligi kuu ya Uingereza, usiku ulioshuhudia City wakiweka shinikizo kwa viongozi wa ligi Arsenal wakipunguza pengo la pointi kufuatia ushindi wa mabao 5-4 dhidi ya Fulham. Raia huyo wa Norway alifunga bao lake la […]