MTU MMOJA AFARIKI MOLO KUFUATIA AJALI

Dereva wa lori ameripotiwa kufariki usiku wa kuamkia leo  katika ajali iliyotokea   huko Molo kando ya barabara kuu ya Eldoret-Nakuru  . Afisa wa usalama barabarani wa kaunti ya Nakuru, Emmanuel Opuru, amethibitisha tukio hilo, akisema dereva wa lori alifariki papo hapo. Huku  kadhaa wakipata majeraha na kukimbizwa katika hospitali mbalimbali, ikiwa ni pamoja na hospitali […]

The Ultimate Guide to Betting Sites: Expert Tips and Strategies

Are you looking to get into the world of online betting? With so many options available, it can be overwhelming to choose the right betting site for your needs. As a seasoned expert with 16 years of experience in online betting, I’m here to provide you with all the information you need to make informed […]

L’évolution du pari e‑sportif : comment les casinos en ligne redéfinissent le jeu

L’évolution du pari e‑sportif : comment les casinos en ligne redéfinissent le jeu Le pari e‑sportif connaît une croissance fulgurante. Les jeunes joueurs y voient une nouvelle façon de s’amuser et de gagner. Les tournois de jeux vidéo comme League of Legends ou Counter‑Strike attirent des millions de spectateurs chaque semaine. Ces audiences créent un […]

KPA YATOA ADA MPYA ZA HUDUMA BANDARINI

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari nchini (KPA) ilianza rasmi kutekeleza muundo wake mpya wa ushuru wa bandari hapo jana tarehe 22, na kumaliza kucheleweshwa kwa miezi mitatu ambayo ilikuwa imerudisha nyuma uwasilishaji kutoka tarehe ya awali ya kuanza kutumika ya Septemba 15. Kufuatia ripoti ya  Ushuru ya KPA 2025, gharama za huduma muhimu zimepanda kwa kiasi kikubwa, na kuathiri karibu […]

NAPOLI WASHINDA ITALIAN SUPER CUP

David Neres aliifungia Napoli mara 2 na kuwapa ubingwa wa kombe la Italian Super Cup katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Bologna kwenye fainali jana usiku. Wing’a huyo wa Brazil aliwaweka Napoli kifua mbele kabla ya kipindi cha kwanza kutamatika baada ya kupinda mpira kutoka mbali, kabla ya kushambulia tena kutokana na makosa ya […]

UELEDI WA SALAH WAIPA MISRI MWANZO MWEMA

Bao la dakika za mwisho la fowadi wa Liverpool Mohammed Salah maarufu kama the Egyptian King liliiwezesha Misri kutoka nyuma na kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya the Warriors wa Zimbabwe kwenye dimba la taifa bingwa barani Afrika AFCON 2025. Salah ambaye anatarajiwa kuiongoza Misri kupata taji la 8 la AFCON na lake la […]

POLICE FC WAPOTEZA FURSA YA UONGOZI

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Kenya KPL Police FC walipoteza fursa ya kurejea uongozi mwa ligi hiyo baada ya kukubali sare ya mabao 2 dhidi ya Kakamega Homeboyz ugani Bukhungu mjini Kakamega. Police walionekana kuchukua udhibiti wa mechi baada ya kiungo Marvin Nabwire kuwapa uongozi kunako dakika ya 10 kabla ya Charles Ouma kuwapa […]

POLISI WALAUMIWA KWA KUVURUGA MAANDAMANO

Wanaharakari na familia za waathiriwa wa maandamano yaliyoongozwa na vijana wa kizazi cha Gen mwaka jana wameikosoa idara ya polisi kwa madai ya kutumia nguvu kupita kiasi na kuwakamata wenzao hapo jana walipokuwa wakifanya maandamano ya amani kuelekea Ikulu ya Nairobi. Polisi walitumia vitoza machozi kuwatawanya waandamanaji na kukamata makumi wengine, waliokuwa wakishinikiza kupewa fidia […]

WAKENYA WALIOKWAMA MYANMAR WAREJESHWA

Hatimaye wakenya 119 waliookolewa nchini Myanmar baada ya kulaghaiwa mtandaoni kupewa ajira wamerejeshwa humu nchini, serikali ikisema juhudi za kuwarejesha wakenya wengine 200 ambao wamekwama nchini humu zinaendelea. Kupitia taarifa, wizara ya masuala ya kigeni imesema 119 hao waliachiwa huru kutokana na operesheni ya vikosi vya usalama vya Myanmar dhidi ya makundi yanayoendeleza uhalifu karibu […]

MAAFISA WA KLINIKI WAANZA MGOMO

Huduma za matibabu kote nchini zinakabaliwa na hatari ya kusambaratika kutokana na mgomo wa maafisa wa kliniki ambao umeanza usiku wa kuamkia leo kuhusiana na mzozo wa malipo ya maafisa hao. Chini ya muungano wao KUCO, maafisa hao wakiongozwa na mwenyekiti wao Peterson Wacira na katibu mkuu George Gibore, wameendelea kumkosoa Waziri wa afya Aden […]