NTSA YAWAONYA MADEREVA KUHUSU ULAGHAI
Mamlaka ya usalama barabarani NTSA imewatahadharisha madereva kuhusiana na kundi la wahalifu linalojifanya maafisa wa NTSA na kuitisha faini kupitia SMS kutoka kwa madereva kwa misingi kwamba madereva hao wamevunja sheria za trafiki. Kupitia notisi, NTSA imesema washukiwa wamekuwa wakituma tovuti kupitia SMS kuwaelekeza madereva namna ya kulipa faini zinazodaiwa. Mamlaka hiyo imejitenga na tovuti […]
English 




































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































