RUTO:MIMI NDIO BORA

Rais William Ruto ameendelea kujiwasilisha kama suluhu kwa matatizo yanayowakumba vijana mfano wa ukosefu wa ajira, huku akiukosoa muungano wa upinzani kama usio na ufahamu kwa changamoto hizo. Akizungumza katika eneo la Acher’s Post kaunti ya Samburu, Ruto amewataka vijana kujiepusha na viongozi anaowataja kama wachochezi, na badala yake kuwapiga msasa viongozi wao kutokana na […]

LSK KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA

Chama cha mawakili nchini LSK kimetishia kupinga uamuzi wa mahakama ya Nakuru kuwazuia mawakili wa kibinafsi kuwakilisha idara za serikali mahakamani, kikisema uamuzi huo ni vita dhidi ya taaluma ya uanasheria. Rais wa LSK Faith Odhiambo, amekosoa uamuzi huo anaosema ni utumizi mbaya wa mamlaka ya idara ya mahakama, wakitaka agizo hilo libatilishwe. Hata hivyo, […]

KARO YA 500 KIHARU!

Shughuli za masomo katika eneo bunge la Kiharu kaunti ya Murang’a zimepigwa jeki baada ya mbunge wa eneo hilo Ndindi Nyoro, kutangaza kupunguza karo ya wanafunzi wa shule za kutwa ambapo mzazi atahitajika kulipa karo ya shilingi 500 pekee kwa muhula. Kulingana na Nyoro, hatua hiyo inatokana na kuimarika kwa mpango wa Masomo Bora ambako […]

KCSE: WAZAZI, SHULE WALAUMIANA

Wazazi na usimamizi wa shule mbali mbali wameendelea kulaumiana kuhusiana na matokeo duni ya mtihani wa kidato cha 4 KCSE kwenye shule hizo, ambayo yameshuhudia baadahi ya shule kukosa kupata wanafunzi watakaojiunga na vyuo vikuu. Katika shule ya Ituneni kaunti ya Makueni, wazazi wamemlaumu mkuu wa shule hiyo, ambapo hakuna mwanafunzi aliyefikisha gredi yaa C […]

Online Gambling Establishments Accepting PayPal: A Comprehensive Guide

In recent years, on-line gambling enterprises have actually gotten immense appeal as a hassle-free means to appreciate gambling from the convenience of your very own home. While there are plenty of payment methods readily available, PayPal has actually emerged as one of one of the most relied on and commonly made use of choices. In […]

IKONE AIPIGA PSG NA KUINGIZA PARIS FC HATUA YA 16

Mchezaji wa zamani wa akademi ya Paris Saint-Germain, Jonathan Ikone, aliiumiza klabu yake ya zamani Jl baada ya kufunga bao pekee lililoipa Paris FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wapinzani wao wa jiji hilo na kufuzu hatua ya 16 bora ya Kombe la Ufaransa. Ikone, aliyeingia kama mchezaji wa akiba, alifunga katika dakika 20 za […]

MANE NA SALAH WAKUTANA TENA NUSU FAINALI AFCON

Miaka mitatu baada ya mara yao ya mwisho kucheza pamoja, Sadio Mane na Mohamed Salah watakutana tena Jumatano lakini sasa wakiwa pande tofauti, Senegal ikichuana na Misri kuwania nafasi ya kufuzu fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON). Mchuano wa hatua ya nusu fainali utakaochezwa katika jiji la Tangiers nchini Morocco utakuwa mara ya […]

ALILA ATAKA MIGOGORO FKF ITATULIWE NDANI

Aliyekuwa mgombea wa urais wa Shirikisho la Soka Kenya (FKF) Tom Alila ameutaka uongozi wa sasa wa shirikisho hilo kumaliza migogoro inayoendelea ndani ya FKF, kufuatia hatua ya Afisa Mkuu Mtendaji Harold Ndege kwenda mahakamani kuzuia kuondolewa kwake kazini. Rais wa FKF Hussein Mohammed hivi karibuni amemtuhumu Ndege kwa utovu mkubwa wa nidhamu, hali ambayo […]

AK YASIFU TIMU YA KENYA BAADA YA MAFANIKIO MAKUBWA DUNIANI

Shirikisho la Riadha Kenya (AK) limesifu Timu ya Kenya kwa maonyesho ya kuvutia na uwakilishi bora wa taifa katika Mashindano ya 46 ya Dunia ya Mbio za Nyika. Timu ya Kenya inatarajiwa kurejea nchini baada ya kung’ara katika mashindano hayo yaliyofanyika Jumamosi mjini Tallahassee, Florida, Marekani. Kenya iliongoza jedwali la medali kwa mara ya tatu […]

XABI ALONSO AACHANA NA REAL MADRID, ARBELOA ATEULIWA KOCHA MPYA

Klabu ya Real Madrid imetangaza kwamba kocha Xabi Alonso ameondoka katika klabu hiyo kwa makubaliano ya pande zote, huku nafasi yake ikichukuliwa na Alvaro Arbeloa. Tangazo hilo lilikuja siku moja baada ya Real Madrid kupoteza fainali ya Kombe la Super Cup la Uhispania kwa Barcelona. Baada ya kipigo hicho, mabingwa hao wa zamani wa Ulaya […]