DUALE AKANUSHA UFISADI KATIKA MAMLAKA YA SHA
Waziri wa Afya Aden Duale amepuuza madai kwamba shilingi bilioni 11 za fedha za umma zimefujwa katika Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) akisema kuwa fedha hizo ni madai yaliyowasilishwa kwa njia isiyofaa na hospitali mbalimbali. Duale amesema kuwa malipo hayo hayataidhinishwa iwapo stakabadhi zitabainika kuwa za kughushi au zisizokidhi vigezo vilivyowekwa. Aidha, Waziri huyo ametangaza kuwa SHA italipa […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































