TRILIONI 5 ZA HAZINA YA MIUNDOMBINU YAIBUA HOFU

Hofu imeibuka kuhusu kubuniwa kwa hazina ya kitaifa ya miundombinu ya thamani ya shilingi trilioni 5, watalaam wakishinikiza marekebisho ya mswada huo wa mwaka 2025-26 ili kuimarisha uwazi na uwajibikaji. Akiwa mbele ya kamati ya fedha katika bunge la kitaifa, afisi ya mdhibiti wa bajeti ya serikali imeonya kuwa hazina hiyo imebuniwa kama taasisi ya […]

“NUSU MKATE” YA ODM

Chama cha ODM kimeshikilia kuwa ni sharti kihakikishiwe asilimia 50 ya nyadhifa za serikali mbali na utekelezwaji wa ajenda 10 kabla ya kuingia kwenye ushirikiano wa kisiasa na chama cha UDA chake Rais William Ruto. Kwa mujibu wa mrengo wa kinara Oburu Oginga ukiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Gladys Wanga, ODM ingali serikalini na […]

UPINZANI WAKEJELI KAULI ZA RUTO

Muungano wa upinzani umejitetea dhidi ya kauli za Rais William Ruto kwamba hauna ajenda yoyote ya maendeleo, badala yake muungano huo ukimkejeli rais kwamba rekodi aliyo nayo ni ukiukaji wa haki za kibinadamu na utawala wa sheria. Viongozi wa muungano huo akiwemo Kalonzo Musyoka wa Wiper, Rigathi Gachagua wa DCP na naibu kinara wa Jubilee […]

GRIEZMANN AANZA MAZUNGUMZO NA ORLANDO CITY

Mshambuliaji Wa Ufaransa, Antoine Griezmann, anaripotiwa kufanya mazungumzo na klabu ya Orlando City SC inayoshiriki Ligi Kuu ya Soka ya Marekani. Kwa sasa Griezmann anakipiga katika klabu ya Atlético Madrid, ambako ndiye mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo. Pia alifunga mabao 44 katika maisha yake ya kimataifa akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa. […]

AYANY ATAKA NAIVAS KULIPIZA KISASI DHIDI YA LUANDA VILLA

Kocha mkuu wa Naivas FC, Elvis Ayany, amesema timu yake imejipanga kulipiza kisasi watakapokutana na Luanda Villa mwishoni mwa wiki katika mechi ya ushindani mkali ya Ligi ya Daraja la Kwanza. Ayany amesema kumbukumbu ya kichapo cha bao 1-0 walichopata katika mechi ya awali imewapa motisha ya kubadili matokeo safari hii. Hata hivyo, kocha huyo […]

KANYI AIAMINI HARAMBEE STARLETS WAFCON

Aliyekuwa kocha wa Harambee Starlets, Richard Kanyi, ameonyesha imani kubwa katika nafasi ya Kenya kung’ara kwenye Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wanawake ya mwaka 2026. Kanyi, aliyeinoa timu hiyo kati ya Agosti 2017 na Machi 2018 na pia kuiongoza Thika Queens kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake msimu wa 2016/2017, amepongeza Shirikisho la […]

MCCARTHY AIONA FIFA SERIES KUWA JARIBIO MUHIMU KWA HARAMBEE STARS

Kocha mkuu wa Harambee Stars, Benni McCarthy, amesema mashindano ya Fifa Series yatakayofanyika Kigali, Rwanda, yatakuwa jukwaa muhimu la kupima kikosi chake kuelekea Mataifa ya Afrika ya mwaka 2027. McCarthy amesema mashindano hayo yanatoa fursa adimu ya kutathmini wachezaji na mikakati dhidi ya wapinzani wa kimataifa. Harambee Stars wataanza kampeni yao kwa mechi dhidi ya […]

MWAKILISHI WA WADI KALIMONI AVAMIWA

Mwakilishi Wadi wa Kalimoni Katika kaunti ya Kiambu Godfrey Mucheke anauguza majeraha baada ya kuvamiwa na Muhuni baada ya kukamilisha shughuli ya utoaji pesa za karo. Viongozi waliondamana na Mucheke wamesema kuwa muhuni aliyefanya kitendo hicho ametambuliwa na kisa hicho kuripotiwa katika kituo cha polisi. Viongozi hao wamekashifu kitendo hicho huku wakisema kuwa wanahofia maisha […]

UPINZANI WASHUTUMU VITISHO VYA KISIASA

Viongozi wa Muungano wa Upinzani wameshutumu kile wanachosema ni vitisho vya kisiasa na vurugu wakisema kuwa kenya haina ukiritimba wa ghasia na kutaka kuwepo kwa siasa za heshima kote nchini. Akizungumza katika kaunti ya Nyamira, Naibu kinara wa chama cha jubilee Fred Matiang’I ametoa ujumbe mzito dhidi ya uchochezi wa kisiasa dhidi ya mikutano ya […]

SERIKALI YAPANGA KUPUNGUZA ADA KATIKA VYUO VYA UFUNDI

Wizara ya Elimu imetangaza mipango ya kupunguza ada kwa wanafunzi katika vyuo vya Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Kitaaluma ili kuboresha na kuratibu sekta ya elimu nchini. Akizungumza na wanahabari, Waziri wa Elimu Julius Ogamba amesema timu kutoka wizara hiyo itaanza mapitio ya ada katika vyuo hivyo kuanzia leo. Ogamba amesema mpango huo utasaidia […]