KIPKOSGEI BINGWA WA DUNIA RASMI

Chipukizi wa Kenya Phanuel Kipkosgei Koech, amepata afueni baada ya shirikisho la riadha ulimwenguni kuidhinisha rekodi yake katika mbio za mita 1,500 kwa wanaume za Paris Wanda Diamond League mwezi Juni mwaka jana. Akiwa na umri wa miaka 18 wakati huo, Kipkosgei aliandikisha muda wa dakika 3:27.72 akimaliza nyuma ya Azeddine Habz na kuvunja rekodi […]

NAIROBI UNITED KUMKOSA KIUNGO WAKE

Mabingwa watetezi wa taji la FKF CUP, Nairobi United, watakosa huduma za kiungo wake Michael Karamor kutokana na jeraha wanapojiandaa kwa mechi ya leo dhidi ya APS Bomet. Mkufunzi mkuu wa Naibois Godfrey Oduor maarufu kama Solo, amesema mabingwa hao wana hamu ya kujikung’uta vumbi kutokana na matokeo duni katika mechi za dimba la mashirikisho […]

BUSIA KWENYE DARUBINI YA EACC

Serikali ya kaunti ya Busia sasa inamulikwa na tume ya maadili na kukabili ufisadi EACC kuhusiana na madai ya ukiukaji wa sheria katika utoaji wa tenda za zaidi ya shilingi bilioni 1.4 katika kipindi cha mwaka wa 2022-25. Kwenye uchunguzi wa tume hiyo, jumla ya kampuni 26 zinazohusishwa na wandani wa maafisa wakuu katika serikali […]

SIFUNA ASISITIZA ODM INGALI AZIMIO

Katibu mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna, amesisitiza kwamba chama hicho kingali mwanachama wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, na kwamba anawaunga mkono viongozi wapya walioteuliwa kuongoza muungano huo mapema wiki hii. Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga, Sifuna amekariri hitaji la sheria linaloitaka ODM kuwasilisha notisi ya siku 90 kwa […]

IEC MBIONI KUJAZA PENGO LA MARIJAN

Tume huru ya uchaguzi na mipaka, IEBC, inatarajiwa kuanzisha mchakato wa kumteua afisa wake mkuu mtendaji kufuatia kujiuzulu kwa Marijan Hussein Marijan jana jioni. Kupitia taarifa, mwenyekiti wa IEBC Erastus Ethekon, amesema Marijan ameondoka kufuatia makubaliano ya pande zote mbili kusitisha huduma zake, ingawa kumekuwa na shinikizo kutoka kwa viongozi wa upinzani wakimtaka aondoke hasa […]

UJUMUISHWAJI WA KOZI YA ECDE, SHULE MSINGI WAPINGWA

Wizara ya elimu imetakiwa kufutilia mbali agizo linalotaka usitishwaji wa utoaji wa vyeti vya diploma za elimu ya chekechea pekee, linalojumuisha mafunzo ya ECDE na shule za msingi. Katika kikao maalum, wasomi kutoka vyuo vikuu mbali mbali wamekosoa agizo hilo la katibu mkuu katika wizara ya elimu Julius Bitok, wakisema limeibua hofu miongoni mwa wazazi […]

The Exciting Globe of Online Slot Machine

If you have actually ever before seen a casino site, you need to recognize with the adventure and enjoyment that comes with playing one-armed bandit. The brilliant lights, the rotating reels, and the prospective to win big make ports one of one of the most prominent gambling enterprise video games. With the introduction of technology, […]

MURKOMEN AZINDUA USAJILI MKUBWA WA VITAMBULISHO WEST POKOT

Waziri wa Usalama wa Ndani Kipchumba Murkomen amezindua zoezi la usajili mkubwa wa watu ili kupata vitambulisho vya kitaifa katika Kaunti ya West Pokot. Akizungumza Kapenguria, Murkomen amesema zoezi hilo litafanyika kwa pamoja katika kaunti za West Pokot, Turkana na Elgeyo Marakwet ili kuziba mapengo ya muda mrefu ya usajili wa raia. Murkomen amebainisha kuwa […]

KENYA POLICE BULLETS WAMSAJILI TEREZA ENGESHA

Mabingwa wa ligi ya wanawake Kenya Police Bullets wamefanya usajili mkubwa kwa kumsajili mshambuliaji wa Harambee Starlets, Tereza Engesha, kabla ya hatua muhimu ya msimu. Engesha ana rekodi ya kipekee, akiwa mwanamke wa kwanza wa Kenya kushinda taji la Ligi ya Mabingwa ya bara Asia akiwa na Wuhan Jiangda ya China mwaka 2025, baada ya ushindi wa […]

SHUJAA YAJIANDAA KWA WORLD SEVENS DIVISION TWO

Timu ya Kenya Sevens imeanza mazoezi ya siku nne katika MPESA Academy kama maandalizi ya mwisho kabla ya mashindano ya World Sevens Division Two yatakayofanyika Februari 14–15 kwenye Uwanja wa Nyayo. Kambi hiyo inafuata mpango wa mazoezi ya hali ya juu uliopangwa Cape Town, Afrika Kusini mapema mwezi huu, ikilenga kurekebisha mbinu na mikakati ya […]