GOR MAHIA WAADHIBIWA NA BANDARI

Mechi ya Gor Mahia dhidi ya Bandari katika uwanja wa Ukunda Showground ilisitishwa mara mbili hapo jana baada ya mashabiki kuzua fujo dakika ya 80, muda mfupi baada ya Bandari kufunga bao lao la pili na kuwa mbele kwa mabao 2-0. Mwamuzi Kelvin Maina alisimamisha mchezo na kuwakusanya wachezaji katikati ya uwanja. Baada ya kusimama […]

“MUNGU ALINIOKOA NIWAOKOE”- TRUMP

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Mungu aliokoa Maisha yake ili yeye aje kuokoa Marekani, akizungumza muda mfupi baada ya kuibuka mshindi kwenye uchaguzi mkuu nchini humo na kumpiku Kamala Harris wa chama cha Democrat. Trump ambaye amekuwa mgombea wa chama cha Republican amepata ushindi mnono dhidi ya Harris aliyechukua nafasi ya Rais […]

MAAFISA WA ZAMANI NYS WAHUKUMIWA KIFUNGO GEREZANI

Aliyekuwa msimamizi wa ununuzi katika idara ya huduma za vijana NYS Hendrick Nyongesa amepata pigo baada ya mahakama kumpa huku ya vifungo viwili vya jumla ya miaka 12 baada ya kupatikana na hatia ya kughushi stakabadhi zilizosababisha kupotea kwa shilingi milioni 791 kati ya mwaka 2014 na 2015. Nyongesa amehukumiwa Pamoja na aliyekuwa mkurugenzi wa […]

MAHAKAMA YA RUFAA KUSIKIZA KESI YA GACHAGUA DHIDI YA MAJAJI WA MAHAKAMA YA JUU

Mahakama ya Rufaa leo itasikiza kesi iliyowasilishwa na aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua akipinga kuhusika kwa benchi ya Mahakama Kuu inayosikiliza kesi yake dhidi ya kuondolewa kwake madarakani. Gachagua alielekea katika Mahakama ya Rufaa akitaka amri ya kutangaza benchi ya majaji Eric Ogola, Anthony Mrima na Frida Mugambi kuwa kinyume na katiba akisema muundo wake […]

LISBON WAWASHANGAZA MANCITY

Mchezaji Viktor alifunga bao la lake la tatu wakati wakati Sporting ya Ruben Amorim ilipokutana na Manchester City kwa ushindi wa 4-1 kwenye Ligi ya Mabingwa siku ya Jumanne, huku Liverpool wakiwalemea Bayer Leverkusen huku AC Milan wakiwashinda mabingwa Real Madrid nchini Uhispania. Sporting walinyakua shoo kwa kucheza kwao Lisbon, lakini mabingwa hao wa Ureno […]

NEYMAR KUKOSA MAZOEZI KWA WIKI MBILI

Neymar atakosa mazoezi ya takriban wiki mbili baada ya kupata tatizo la misuli katika mchezo wake wa pili baada ya kuumia kwa muda mrefu, kocha wake katika klabu ya Al Hilal ya Saudia amesema. Nyota huyo wa Brazil alicheza kwa dakika 26 pekee kama mchezaji wa akiba kipindi cha pili kabla ya kuchechemea baada ya […]

GOR MAHIA WAKASHIFU UHUNI

Meneja wa Timu ya Gor Mahia Victor Nyaoro amekashifu uhuni unaoshuhudiwa siku za hivi majuzi unaofanywa na baadhi ya mashabiki wanaodai matokeo mema kutoka kwa mabingwa hao wa rekodi. Kulingana na Nyaoro, inasikitisha kwa kocha ambaye amekuwa na timu hiyo kwa muda wa miezi sita hivi na benchi la ufundi kuzongwa na mashabiki wa klabu […]

BANDARI WAKO TAYARI KUMENYANA NA GOR

Timu ya Bandari fc imeweka wazi kwamba wako tayari kupambana na Gor Mahia hapo kesho katika mechi ya ligi kuu nchini KPL. Mechi hiyo inatarajiwa kuandaliwa katika uwanja wa maonyesho ya kilimo wa Ukunda kaunti ya Kwale. Kulingana na mkurungezi mkuu wa timu ya Bandari fc Tony Kibwana anasema haitakuwa mara ya kwanza kwa Bandari […]

MWENDESHA PIKIPIKI AFARIKI KATIKA AJALI YA BARABARANI HUKO NAROK

Mwendesha pikipiki ambaye bado hajatambuliwa amefariki katika ajali ya barabarani iliytotokea usiku wa kuamkia leo katika kaunti ya Narok. Kulingana na ripoti ya polisi iliyowasilishwa katika kituo cha Polisi cha Narok, ajali hiyo imetokea mwendo wa saa 3:00 asubuhi katika mtaa wa Empopongi, takriban kilomita 8 mashariki mwa Kituo cha Polisi cha Kaunti Ndogo ya […]

WALIMU WAKUU WA SHULE ZA UPILI WATAKA NYONGEZA YA MISHAHARA KWA KUSIMAMIA JSS

Chama cha Kitaifa cha Walimu nchini (KNUT) kinaitaka serikali kukagua mishahara ya wakuu wa shule za msingi, ambao sasa wanaongoza shule za sekondari ya msingi (JSSs) chini ya Mtaala unaozingatia Umahiri (CBC). Akizungumza wakati wa kongamano la kila mwaka la Chama cha Walimu Wakuu wa Shule za Msingi (KEPSHA) mjini Mombasa, Katibu Mkuu wa KNUT […]