KENYA YATOA HATI KWA VYUO VIKUU VIWILI VIPYA

Wanafunzi ambao wana hamu ya kusomea katika chuo kikuu cha kitaifa cha Utafiti wa ujajusi wana kila sababu ya kutabamu baada ya chuo hicho kukabilthiwa hati rasmi za kuhudumu na Rais William Ruto. Rais William Ruto ametoa hati kwa Chuo Kikuu cha Kitaifa cha Utafiti wa Ujasusi na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Kenya, na […]

ROBERT MATANO AJIVUNIA USHINDI WAKE DHIDI YA HOMEBOYZ

Kocha mkuu wa Sofapaka Robert Matano anajivunia ushindi wa klabu yake wa 2-0 dhidi ya Kakamega Homeboyz katika mechi ya ligi kuu nchini iliyoanadaliwa katika uwanja wa Dandora hapa jijini Nairobi. Matano, maarifu ‘The Lion’ anamini timu yake kwa sasa ipo imara na inaweza kuonesha ushindani kwenye ligi. Kwa upande wake, kocha mkuu wa Kakamega […]

OLUOCH APONGEZA KIKOSI CHAKE

Kocha mkuu wa timu ya mpira wa vikapu ya Chuo Kikuu cha Africa Nazarene, Michael Oluoch, amepongeza timu zake licha ya kupoteza mechi zao za kwanza msimu huu katika Ligi ya kuu wikendi. ANU Panthers walipoteza mechi yao ya kwanza 43-53 dhidi ya Safe Spaces waliopanda daraja katika ligi kuu ya wanawake huku timu yao […]

WAPENI HUKUMU YA KIFO WASHUKIWA

Familia ya mwanariadha wa humu nchini ambaye alikua anakimbilia taifa la uganda Benjamin Kiplagat imeiomba mahakama kuwapa hukumu ya kifo washukiwa wawili wa mauwaji ya mwanariadha huyo. Elizabeth chemweno ambaye ni mamake marehemu na ndugu zake wawili walieleza mahakama kwamba kama familia wanahangaika tangu kufariki kwa mwanariadha huyo ambaye wanasema alikua tegemeo lao. Imetayarishwa na […]

TUPE MUDA TENA

Valencia leo wameomba mpambano wao wa raundi ya kwanza wa Copa del Rey na Parla Escuela uahirishwe tena kwa sababu ya mafuriko makubwa katika eneo hilo. Takriban watu 217 walifariki, na wengine wengi bado hawajulikani walipo, baada ya dhoruba kali kupiga mashariki mwa Uhispania wiki iliyopita. Mechi ya Valencia ya Copa del Rey awali ilipaswa […]

EDU AHAMA ARSENALI

Mikel Arteta atapoteza mshirika wake mkuu katika klabu ya Arsenal huku mkurugenzi wa michezo mwenye sifa ya juu Edu akitarajiwa kuihama klabu hiyo. Mbrazil huyo, kiungo wa zamani wa Arsenal, amekuwa na jukumu la kuwanasa wachezaji muhimu kama Martin Odegaard na Declan Rice na kuongoza utendaji mzuri wa Arsenal katika kusajili na kupeleka wachezaji muhimu […]

POLISI NAKURU WACHUNGUZA UVAMIZI WA ‘ASKARI JELA’

Polisi katika kaunti ya Nakuru wanaendeleza uchunguzi katika kisa ambapo afisa mmoja wa magereza ameuawa Jumapili usiku huku wenzake 3 wakijeruhiwa baada ya kuvamiwa na watu wasiojulikana Kulingana na wakazi, wanne hao walikuwa wakitekelza wizi katika kijiji cha Kapnandi kabla ya wakazi kuwaandamana na kumwua mmoja. Hata hivyo, kamanda wa polisi Michael Mwaura amethibitisha uvamizi […]

MSHUKIWA KOROKORONI, WAKAZI WALALAMIKIA UNAJISI BUSIA

Mshukiwa mmoja wa unajisi raia wa Uganda anatarajiwa kufikishwa mahakamani hii leo baada ya kukamatwa na polisi kwa madai ya kunajisi moto mchanga mwenye umri wa miaka 3 katika eneo la Butula kaunti ya Busia. Kulingana na OCPD wa eneo hilo Hellen Rotich, mshukiwa amekuwa akifanya kazi katika boma moja kama mfanyakazi wa nyumbani. Haya […]

4 WAFARIKI KWENYE AJALI MIGAA, NAKURU

Watu 4 wamepoteza uhai papo hapo huku mwingine akijeruhiwa katika eneo la Migaa kaunti ya Nakuru kwenye barabara kuu ya Nakuru-Eldoret baada ya lori lililokuwa likisafirisha kuni kugongana ana kwa ana na lori jingine lililokuwa likisafirisha nyanya. Kulingana na chifu wa Migaa Zachary Monari, watatu kati ya waliofariki walikuwa kwenye lori lililokuwa likisafirisha kuni na […]

KEPSHA: JSS IMETUONGEZA MZIGO, TUTAMBUENI

Muungano wa walimu wa shule za msingi KEPSHA umeitaka serikali kuwatambua kikamilifu walimu wakuu kufuatia majukumu wanayotekeleza ya usimamizi wa shule za sekondari msingi JSS. Mwenyekiti wa muungano huo Johnson Nzioka amesema kwa sasa walimu hao wanakabiliwa na majukumu mengi baada ya shule hizo kuwekwa chini yao. Nzioka ameyasema haya katika kongamano linaloendelea jijini Mombasa […]