29 BADO HAWAJULIKANI WALIKO, POLISI
Inspekta mkuu wa polisi Douglas Kanja ametoa hakikisho kuwa polisi wanaendeleza uchunguzi ili kubaini waliko wakenya 29 waliotoweka tangu mwezi Juni, katika matukio ambako imeripotiwa kwamba wakenya Zaidi ya 40 waliuawa huku 22 wakitekwa nyara na kupatikana wakiwa hai. Akiwa mbele ya kamati ya usalama katika bunge la kitaifa, Kanja amekiri kuwa hajapata ripoti kamili […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































