KARUA AWATAKA WAKENYA KUTETEA HAKI ZAO
Kiongozi wa chama cha PLP, Martha Karua, ametoa wito kwa wakenya kutetea haki zao kikamilifu huku chama cha wanasheria nchini LSK kikizindua wiki ya uhamasishaji wa kisheria 2025. Hafla hiyo ambayo imeanza hii leo na inatarajiwa kuamilika tarehe 31, 2025, ambapo zaidi ya mawakili 18,000 wa Kenya wakitoa mashauriano ya kisheria bila malipo nchini kote. Karua ameangazia vikwazo vya kimfumo […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































