KOCHA MPYA WA POLICE FC AAHIDI KUREJESHA UBABE KLABUNI
Kocha mpya wa Police FC, Dusan Stojanovic, ameapa kurejeshaubabe wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) nakujenga kikosi chenye uwezo wa kushindana na vilabu vikubwabarani Afrika.Mtaalamu huyo raia wa Serbia alitambulishwa rasmi Jumapilijioni katika Uwanja wa Police Sacco, muda mfupi baada ya kikosichake kutoka sare tasa ya 0–0 dhidi ya Posta Rangers.Akizungumza kwenye […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































