WAVUNJAJI WA SHERIA ZA MITIHANI WANASWA
Jumla ya watu 36 waliokamatwa kuhusiana na visa vya udanganyifu wa mitihani unaoendelea wa KCSE wanatarajiwa kufikishwa mahakamani hii leo kufunguliwa mashtaka ya ukiukaji wa mwongozo wa mitihani ya kitaifa. Miongoni mwa waliokamatwa ni wanafunzi wa vyuo vikuu 3 waliokauwa wakiwafanyia wanafunzi mitihani katika kaunti ya Nairobi na Kericho, wengine wakiwa watahiniwa waliopatikana na simu, […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































