SERIKALI YATHIBITISHA MAUAJI TANZANIA
Serikali imeanzisha uchunguzi katika mauaji ya mwalimu raia wa Kenya John Ogutu aliyeuawa kwenye ghasia za baada ya uchaguzi nchini Tanzania alikokuwa akifanya kazi kama mwalimu katika eneo la Kinondoni. Haya ni kulingana na katibu mkuu katika wizara ya usalama wa kitaifa Raymond Omollo, akithibitisha mauaji hayo kwa mara ya kwanza huku familia ya Ogutu […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































