WABUNGE WAPUUZA UAMUZI WA MAHAKAMA DHIDI YA KENYA KWANZA
Baadhi ya wabunge wamepuuza uamuzi wa mahakama uliovua Kenya Kwanza hadhi ya chama chenye wingi bungeni, wakisema hauna athari yoyote. Mbunge wa Ugenya, David Ochieng, anasema uamuzi huo hauna maana kwa kuwa mabadiliko ya kisiasa tayari yamefanyika na Bunge linafaa kushughulikia mvutano huo. Mwakilishi wa Wanawake wa Laikipia, Jane Kagiri, kwa upande wake amesema kuwa […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































