SERIKALI YAWALIPA WACHAPISHAJI
Hatimaye serikali imetoa malipo ya shilingi bilioni 5.64 kwa wachapishaji wa vitabu, ikiwa ni sehemu ya deni la shilingi bilioni 11.4 ilizokuwa ikidaiwa na wachapishaji hao. Kupitia taarifa, taasisi ya ustawi wa mtaala nchini KICD na muungano wa wachapishaji KPA, umekiri kupokea fedha hizo kutoka kwa wizara ya elimu, hatua itakayofanikisha uchapishaji wa vitabu vya […]
English 






























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































