WATAALAMU WA EBOLA WA AMERIKA WAWASILI KENYA
Wataalamu wa magonjwa ya kuambukiza kutoka Amerika wamewasili nchini Kenya na kuanza maandalizi ya kituo maalum cha Ebola ambacho Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani Marco Rubio amesema kitaanza kufanya kazi ndani ya siku saba zijazo. Ikulu ya White House imethibitisha kuwa Amerika inaandaa kituo maalum nchini Kenya kwa ajili ya kuwatenga raia wa […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































