RUTO KUHUTUBIA BUNGE LA TANZANIA
Rais William Ruto ameratibiwa kulihutubia bunge la kitaifa la Tanzania Jumanne wiki ijayo, ikiwa n ani sehemu za kuimarisha uhusiano baina ya mataifa hayo mawili. Kulingana na taarifa kutoka afisi ya spika wa bunge hilo, wabunge wamehamishwa kuhusu kikao hicho kitakachoanza saa tano asubuhi, akiwataka wabunge hao kufika bila kukosa ili kusikiliza hotuba ya rais […]
English 


























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































