SOSSION AITAKA WIZARA YA ELIMU KUKAGUA MAJENGO SHULENI
Wito umetolewa kwa wizara ya elimu kuanzisha mchakato wa kukagua majengo shuilni kuhakikisha usalama wa wanafunzi. Aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha kitaifa cha walimu KNUT Wilson Sossion anasema kuwa visa vya moto shuleni vinsaendelea kuzua hofu miongoni mwa wasomi na wakenya kwa ujumla iwapo wizara ya elimu haitaweka mikakati ya kukagua majengo shuleni. Sosion […]
English 














































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































