MCHAKATO WA KIDIJITALI WA UNUNUZI UTAOKOA ASILIMIA 30 YA RASLIMALI ZA UNUNUZI

Serikali inatarajiwa kuokoa asilimia 30 ya raslimali za ununzi wa umma mchakato wa ununuzi utakapowekwa kikamilifu kuwa wa kidijitali ifikiapo Januari mwaka wa 2025. Kwa mujibu wa taasisi ya ugavi na usimamizi mchakato huo unatarajiwa kupunguza visa vya ulaghai katika sekta hiyo. Mkurugenzi mtendaji wa taasisi hiyo Kenneth Matiba kwa upande wake amesema kuwa mchakato […]

WIZARA YA AFYA YAFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA MAGAVANA LA AFYA KUEPUSHA MGOMO WA MADAKTARI

Utoaji wa huduma za afya katika hosipitali za umma unatarajiwa kuathirika iwapo madaktari watashiriki mgomo tena ikiwa mkataba wa makubaliano uliotiwa saini hivi majuzi hautazingatiwa. Wizara ya afya in asema kuwa itashirikiana kwa karibu na baraza la magavana nchini, kuepusha mgomo huo wa madaktari. Akiongea alipomtembelea mwenyekiti wa kamati ya baraza la magavana kuhusu afya […]

MBEGU, MBOLEA GHUSHI HATARI- WATAALAMU

Wataalamu wameonya kuwa kuingizwa kwa mbegu ghushi na mbolea ambayo haijakaguliwa kumechangia kuongezeka kwa magonjwa na wadudu wanaovamia mimea na kusababisha hasara kubwa kwa wakulima nchini. Kutokana na hilo, serikali imewaonya wafanyabishara dhidi ya kuingiza nchini mbegu hizo kupitia mipaka mbali mbali humu nchini na kuwauzia wakulima. Wakizungumza baada ya kuzuru kituo cha Pamoja cha […]

MGOMO WA WAUGUZI TAITA TAVETA WANUKIA

Viongozi wa vyama vya wauguzi katika kaunti ya Taita Taveta wametangaza mgomo kuanzia hapo kesho baada ya mazungumzo baina yao na uongozi wa kaunti hiyo kukosa kuzaa matunda. Viongozi hao ambao walikuwa wametoa ilani ya mgomo wiki jana, wanasema serikali imekosa kuangazia maslahi yao ikiwemo mishahara na ulipaji wa makato yao ya kila mwezi. Aidha, […]

MASENGELI AAGIZWA KUJIWASILISHA MAHAKAMANI

Mahakama kuu ya Nairobi imemwagiza kaimu Inspekta Mkuu wa polisi Gilbert Masengeli kujiwasilisha mwenyewe mahakamani hii leo saa tisa kamili kujibu maswali kuhusu kupotea kwa watu 3 katika eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado yapata wiki 2 zilizopita. Hii ni baada ya hakimu Lawrence Mugambi mnamo tarehe 28 mwezi jana kumwagiza Masengeli, mkurugenzi wa mashtaka […]

MWANARIADHA REBECCA CHEPTEGEI ALAZWA ICU BAADA YA KUSHAMBULIWA

Mwanariadha wa Uganda Rebecca Cheptegei ambaye alipata majeraha ya moto kwa asilimia 75 baada ya kushambuliwa na anayedaiwa kuwa mpenzi wake amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali moja Eldoret. Mshukiwa wa shambulio hilo Dickson Ndiema Marangach pia amelazwa katika ICU hiyo hiyo. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo amethibitisha kuwa wawili hao wamelazwa […]

STARLETS WAINGIA KAMBINI

Kikosi cha wanasoka 35 wa timu ya taifa ya soka kwa akina dada chini ya miaka 17 maarufu Junior Starlets kitaingia kambi ya mazoezi ya majuma mawili ugani Utalii Nairobi kuanzia hapo kesho kujiandaa kushiriki kombe la dunia mwezi ujao nchini Dominican Republic. Kocha mkuu Mildred Cheche aliyewaongoza warembo hao kufuzu kwa kombe hilo la […]

NINA IMANI NA SALAH

Beki wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher anaamini Mohamed Salah atataka kucheza kwa kiwango cha juu zaidi hadi atakapo timia umri karibia wa miaka 40, na analenga rekodi za Ligi Kuu na klabu licha ya kutokuwa na uhakika juu ya mustakabali wake. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Misri aliiweka timu yake katika mtihani wa maamuzi […]

TUNAJIPANGA KWA MARATHON

Mkurugenzi Mtendaji wa Nairobi City Marathon Barnaba Korir ameelezea mpango madhubuti unaolenga kuhakikisha mbio za Nairobi City Marathon zinavutia kimataifa. Korir anasema AK inatazamia mbio za marathon kuwa sehemu ya Msururu wa mbio kubwa za marathon za kimataifa, na hatimaye kutumika kama moja wapo ya mikondo iliyopo. Makala hayo ya tatu ya mbio za marathon, […]

HATUPO KWENYE MASHINDANO

Kocha mkuu wa Kisumu RFC Oscar Okaron amefichua kuwa timu yake haitashiriki mkondo wa tano wa msururu wa Kitaifa wa raga ya wachezaji saba nchini, Driftwood 7s, Mombasa wikendi hii, kutokana na majeraha kadhaa katika kikosi chao chembamba. Kisumu bado haijaandikisha ushind wowote katika shindnao hili licha ya kuwa mwenyeji wa mkondo wa tatu, Dala […]