JIWE LA STONES YAIOKOLEA CITY ALAMA
Beki wa Uingereza John Stones aliikolea timu yake ya Man City katika dakika za lala salama na kuwapa sare ya mabao 2 dhidi ya Arsenal katika uga wa Etihad. Man city walichukua uongozi kunako dakika ya 9 kupitia msambuliaji wao matata Erling Halaand baada ya kumegewa pasi na kinda Savino, kabla ya Arsenal kusawazisha Ricardo […]
English 




















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































